Halima Mdee: Mimi ni CHADEMA ila sina tabia ya kususa
Mbunge wa viti maalum kwa tiketi ya Chama cha Demokrarasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, Halima Mdee amesema atazungumzia hatma yake ya kisiasa baada ya Bunge la nchi hiyo kuvunjwa mwishoni mwa mwezi Juni mwaka huu, kwani kwa sasa bado hajafikia uamuzi.
-
Halima, aliyewahi kuwa mbunge wa kuchaguliwa wa Kawe jijini Dar es Salaam kwa miaka 10, ametoa tamko hilo wakati wa mahojiano maalumu na mwandishi wa BBC, Florian Kaijage huku akizungumzia kwa mara ya kwanza utaratibu uliomwingiza bungeni yeye na wenzake kumi na wanane mwaka 2020 na kuzua mgogoro yao na Chadema.
-
#bbcswahili #siasa #tanzania #chadema #uongozi
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
3 Jun 2025
- Kenya is at a delicate diplomatic position in its relations with Somaliland and Somalia.
3 Jun 2025
- The senator affirmed that this will go a long way in dealing with criminals.
3 Jun 2025
- The authorities have been urged to take action immediately.
3 Jun 2025
- Dominicans who lost family members in the April nightclub disaster that claimed 234 lives will receive "emergency" payments of some $500 per month for six months, the government in Santo Domingo said Monday.
3 Jun 2025
- Sicily’s Mount Etna put on a fiery show Monday, sending a cloud of smoke and ash several kilometers (miles) into the air, but officials said the activity posed no danger to the population.
3 Jun 2025
- More than 100 phones were stolen at the Raila Odinga Stadium during the 62nd Madaraka Day celebration.
3 Jun 2025
- Every year, the Scandinavian NGO publishes a list of the 10 most neglected crises, based on three criteria for what is lacking: humanitarian funding, media attention and international political engagement.
3 Jun 2025
- The secret ballot followed days of protests in the capital Ulaanbaatar against alleged corruption.
3 Jun 2025
- Washington halted cattle imports from Mexico in May, citing the insect’s spread, opens new tab further into Mexico, about 700 miles from the Texas border. With the U.S. cattle herd already at a multi-decade low, the closure could further elevate record-…
3 Jun 2025
- Gladys Wairimu Kariuki, the wife of the late GG Kariuki—former Internal Security Minister and former Laikipia County Senator has passed away.
3 Jun 2025
- The man identified as Peter Muthama was stabbed in the back in a struggle with suspected thugs
3 Jun 2025
- Kenya is at a delicate diplomatic position in its relations with Somaliland and Somalia.
3 Jun 2025
- Police said both bodies were naked, their hands chopped off, with multiple physical injuries.